GauHome.jpg (15896 octets) Droitebandeau.jpg (20729 octets)
Makelele mingi bila cha kusema.
wpe141.jpg (679 octets)
Muhindo
wpe141.jpg (679 octets)
Ndugu zangu,

Nimefuata mazungumzo myaandikayo kila siku kwa Congonline. Najua ya kuwa wengi kati yenu wanaofikiri kuwa na hekima kupita wote, mnataka tusiseme chochote bila kuwapendeza. Inafaa mfahamu ya kwamba mara moja unazungumza kuhusu demokratia, kuna watu wanao mafikiri yasiyo fanana mafikiri yako. Hiyo si kusema yakuwa ni wapumbavu. Hatuwezi kuwa na mawazo yafananayo.

Mara nasikia uchungu sana kwa sababu ya matukizo myatumiayo kujibu baruha za "differing opinions" Sababu gani mtu mwenye elimu aweza kuandika namna ya mtoto mchanga, bila kuwaza matukio ya maandiko yake? Mnatuletea haya kubwa sana kwa maana kuna watu wengi wanao soma kila andika mtoayo juu ya Internet.

Il me semble qu'il y a parmi vous certaine personnes qui croient avoir le monopole sur la démocratie. Cette opinion de se faire valoir plus démocratique que la démocratie elle-même est, à mon avis, erronée. Car, comment peut-on défendre la démocratie par des moyens non démocratiques? Par le langage qui décèle le manque d'argument on fait recours à "foul laguage", on attaque la personne ayant des arguments opposés, pire they just insult l'intelligence de tous. N'oubliez pas que le tonneau vide fait beaucoup de bruit, impression que j'ai de certaines personnes, thus far.

Peu-être que j'ai mal compris, mais un forum est une plate-forme sur laquelle des idées sont discutées intellectuellement sans porter atteinte à la personne de celui qui a des idées contraires aux vôtres. Défendons la démocratie, mais cessons d'insulter les uns les autres. Soyons des adultes dignes de ce titre.

Muhindo ( Mmu123pol@aol.com )

Copyright Afriqu'Info asbl.