Ndugu zangu, Nimefuata mazungumzo myaandikayo kila siku kwa Congonline. Najua ya
kuwa wengi kati yenu wanaofikiri kuwa na hekima kupita wote, mnataka tusiseme chochote
bila kuwapendeza. Inafaa mfahamu ya kwamba mara moja unazungumza kuhusu demokratia, kuna
watu wanao mafikiri yasiyo fanana mafikiri yako. Hiyo si kusema yakuwa ni wapumbavu.
Hatuwezi kuwa na mawazo yafananayo.
Mara nasikia uchungu sana kwa sababu ya matukizo
myatumiayo kujibu baruha za "differing opinions" Sababu gani mtu mwenye elimu
aweza kuandika namna ya mtoto mchanga, bila kuwaza matukio ya maandiko yake? Mnatuletea
haya kubwa sana kwa maana kuna watu wengi wanao soma kila andika mtoayo juu ya Internet.
Il me semble qu'il y a parmi vous certaine personnes qui
croient avoir le monopole sur la démocratie. Cette opinion de se faire valoir plus
démocratique que la démocratie elle-même est, à mon avis, erronée. Car, comment
peut-on défendre la démocratie par des moyens non démocratiques? Par le langage qui
décèle le manque d'argument on fait recours à "foul laguage", on attaque la
personne ayant des arguments opposés, pire they just insult l'intelligence de tous.
N'oubliez pas que le tonneau vide fait beaucoup de bruit, impression que j'ai de certaines
personnes, thus far.
Peu-être que j'ai mal compris, mais un forum est une
plate-forme sur laquelle des idées sont discutées intellectuellement sans porter
atteinte à la personne de celui qui a des idées contraires aux vôtres. Défendons la
démocratie, mais cessons d'insulter les uns les autres. Soyons des adultes dignes de ce
titre.
Muhindo ( Mmu123pol@aol.com
)